Ijumaa, 26 Juni 2015

Aina ya Maneno katika Kiswahili

Kuna aina nane(8) za maneno katika luugha ya kiswahili:-
  • Nomino
  • Viwakilishi
  • Vitenzi 
  • Vivumishi
  • Vielezi
  • Viunganishi
  • Vihusishi
  • Vihisishi
 Nomino  Neno linalosimamia jina la kitu, mtu, mnyama, mahali, hali na kadhalika. 
Viwakilishi  Maneno yanayotumika badala ya nomino
Vitenzi  Maneno yanayotaja kitendo
Vivumishi  Huelezea zaidi kuhusu nomino
Vielezi  Hutuarifu zaidi kuhusu vitenz
Viunganishi   Hutumika kuunganisha makundi mbalimbali ya maneno
Vihusishi  Huonyesha uhusiano wa nomino na mazingira yake
Vihisishi   Maneno yanayotumika kuonyesha hisia



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni