Kumpa mtu ukweli wake => Kumwambia mtu wazi [to be transparent]
Pua kukaribiana kushikana na uso => Kukunja uso kwa hasira [to express anger]
Sina hali => Sijiwezi [I am helpless (mostly when talking about love)]
Kupiga uvivu => Kukaa tu bila kazi [abject laziness]
Kupiga kubwa => Kwenda moja kwa moja [vanishing act]
Kumwekea mtu deko => Kulipiza kisasi [pay back]
Mtu mwenye ndimi mbili => Kigeugeu [A turncoat]
Miamba ya mitishamba => Wanga hodari wa kienyeji [ expert wizardry]
Kupiga supu => Tegea [do the least]
Kupiga mali shoka => Gawana [distribute (contraband, bullion, inheritance]
Amekula chumvi nyingi =>Ameishi miaka mingi [lived a long life]
Ahadi ni deni =>Timiza ahadi yako [be trustworthy; keep your promise]
Amewachukua wazee wake => Anawatunza vizuri wazazi wake [taking good care of parents]
Amekuwa popo -=>Yu kigeugeu [ a turncoat]
Amevaa miwani =>Amelewa pombe [chakari] [inebriation, a drunkard]
Kuchungulia kaburi =>Kunusurika kifo [saved from a worse fate]
Fyata mkia => Nyamaza [keep silent]
Fimbo zimemwota mgongoni =>Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni [birching scars on ones' back]
Hamadi kibindoni =>Akiba iliyopo kibindoni [savings for a rainy day]
Hawapikiki chungu kimoja =>Hawapatani kamwe ! [always at loggerheads]
Kupika majungu => Kufanya mkutano wa siri [conspire a secret meeting]
Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka => Kumsifu mtu kwa unafiki [kinafiki] [paying lip service]
Kula mlungula => Kula rushwa [receiving a bribe]
Kupelekwa miyomboni => Kutiwa [kupelekwa] jandoni [performing circumcision]
Kujipalia mkaa => Kujitia matatani [get yourself in trouble]
Amekuwa mwalimu => Yu msemaji sana [a talkative person]
Amemwaga unga => Amefukuzwa kazi [ dismissed from employment]
Ana ulimu wa upanga =>Ana maneno makali [biting words]
Ameongezwa unga => Amepandishwa cheo [promoted]
Agizia risasi =>Piga risasi [shoot!]
Chemsha bongo => Fikiri kwa makini [think analytically]
Kumeza [zea] mate => Kutamani [to crave for]
Kumuuma mtu sikio => Kumnong'oneza mtu jambo la siri [tell a secret to someone]
Kumpa nyama ya ulimi =>Kumdanganya mtu kwa maneno matamu [using wiles to tell lies]
Kumchimba mtu => Kumpeleleza mtu siri yake to dig one's secrets]
Kutia chumvi katika mazungumzo => Kuongea habari za uwongo [tell lies]
Vunjika moyo => Kata tamaa [give up]
Utawala msonga => Utawala wa wachache [leadership of the few]
Usiwe nyang'au => Usidhulumu kwa kutumia madaraka
[Don't use your position to exploit others]
usiwe Kikaragosi => Usiwe chui katika ngozi ya kondoo
[Don't be a sheep in a leopard's skin]
Umangimeza => Viongozi wanaopenda kuamrisha watu [a Dictatorship]
Kutoa ya mwaka => Kufanya jambo zuri na la pekee [performing a unique act]
Kula vumbi => Pata taabu [struggle]
Mafungulia ng'ombe => Kati ya saa mbili na saa tatu
[between 8.00 and 9.00 o'clock
Kutia kiraka => Fichia siri [confiante]
Kumlainisha mtu -=> Kumzungumzia mtu maneno
Yalimkata maini - Yalimtia uchungu [emotional pain]
Kujikosoa => Kujisahihisha [correct your ways]
Kutia utambi => Kuchochea ugomvi [convince someone to fight]
Kumeza maneno => Kutunza siri moyoni [to keep a secret]
Kula njama => Kufanya mkutano wa siri [to conspire a secret meeting]
Kumkalia mtu kitako => Kumsema/kumsengenya [to talk about someone]
Kupiga vijembe => Kumsema mtu kwa fumbo [use idioms to talk about someone]
Kiinua mgongo => Malipo ya pongezi/uzeeni [pension]
Kazi ya majungu => Kazi ya kumpatia mtu posho [hand to mouth existence]
Kaza kamba => Usikate tamaa - [never give up!]
Kumwonyesha mgongo => Kujificha - [to hide]
Kuona cha mtema kuni => Kupata mateso [torture]
Maneno ya uwani => Maneno yasiyo na maana/porojo - [hyperbole !]
Mate ya fisi => Kata tamaa kupita kiasi - [give up totally !]
Mbiu ya Mgambo => Tangazo [advertisement]
Mungu amemnyooshea kidole => Mungu amemuadhibu - [God's punishment]
Mkubwa jalala => Kila lawama hupitia kwa mkubwa -
[The eldest is the Dumping ground!]
Mkaa jikoni => Mvivu wa kutembea - [a stay at home person]
Mungu si Athumani -=>Mungu hapendelei [God is fair]
Ndege mbaya => Bahati mbaya [bad luck]
Paka mafuta kwa mgongo wa chupa => Danganya [telling lies]
Usiwe kabaila => Usichume tokana na jasho la mwingine [Don't exploit others]
Usiwe kupe => Fanya kazi [be gainfully employed]
Usiwe bwanyenye => Usichume kwa vitega uchumi vyako [don't be a capitalist!]
Usiwe na mrija => Usinyonye wenzako [don't be exploitative]
Pua kukaribiana kushikana na uso => Kukunja uso kwa hasira [to express anger]
Sina hali => Sijiwezi [I am helpless (mostly when talking about love)]
Kupiga uvivu => Kukaa tu bila kazi [abject laziness]
Kupiga kubwa => Kwenda moja kwa moja [vanishing act]
Kumwekea mtu deko => Kulipiza kisasi [pay back]
Mtu mwenye ndimi mbili => Kigeugeu [A turncoat]
Miamba ya mitishamba => Wanga hodari wa kienyeji [ expert wizardry]
Kupiga supu => Tegea [do the least]
Kupiga mali shoka => Gawana [distribute (contraband, bullion, inheritance]
Amekula chumvi nyingi =>Ameishi miaka mingi [lived a long life]
Ahadi ni deni =>Timiza ahadi yako [be trustworthy; keep your promise]
Amewachukua wazee wake => Anawatunza vizuri wazazi wake [taking good care of parents]
Amekuwa popo -=>Yu kigeugeu [ a turncoat]
Amevaa miwani =>Amelewa pombe [chakari] [inebriation, a drunkard]
Kuchungulia kaburi =>Kunusurika kifo [saved from a worse fate]
Fyata mkia => Nyamaza [keep silent]
Fimbo zimemwota mgongoni =>Ana alama ya mapigo ya Fimbo mgongoni [birching scars on ones' back]
Hamadi kibindoni =>Akiba iliyopo kibindoni [savings for a rainy day]
Hawapikiki chungu kimoja =>Hawapatani kamwe ! [always at loggerheads]
Kupika majungu => Kufanya mkutano wa siri [conspire a secret meeting]
Kumpiga [kumvika] kilemba cha ukoka => Kumsifu mtu kwa unafiki [kinafiki] [paying lip service]
Kula mlungula => Kula rushwa [receiving a bribe]
Kupelekwa miyomboni => Kutiwa [kupelekwa] jandoni [performing circumcision]
Kujipalia mkaa => Kujitia matatani [get yourself in trouble]
Amekuwa mwalimu => Yu msemaji sana [a talkative person]
Amemwaga unga => Amefukuzwa kazi [ dismissed from employment]
Ana ulimu wa upanga =>Ana maneno makali [biting words]
Ameongezwa unga => Amepandishwa cheo [promoted]
Agizia risasi =>Piga risasi [shoot!]
Chemsha bongo => Fikiri kwa makini [think analytically]
Kumeza [zea] mate => Kutamani [to crave for]
Kumuuma mtu sikio => Kumnong'oneza mtu jambo la siri [tell a secret to someone]
Kumpa nyama ya ulimi =>Kumdanganya mtu kwa maneno matamu [using wiles to tell lies]
Kumchimba mtu => Kumpeleleza mtu siri yake to dig one's secrets]
Kutia chumvi katika mazungumzo => Kuongea habari za uwongo [tell lies]
Vunjika moyo => Kata tamaa [give up]
Utawala msonga => Utawala wa wachache [leadership of the few]
Usiwe nyang'au => Usidhulumu kwa kutumia madaraka
[Don't use your position to exploit others]
usiwe Kikaragosi => Usiwe chui katika ngozi ya kondoo
[Don't be a sheep in a leopard's skin]
Umangimeza => Viongozi wanaopenda kuamrisha watu [a Dictatorship]
Kutoa ya mwaka => Kufanya jambo zuri na la pekee [performing a unique act]
Kula vumbi => Pata taabu [struggle]
Mafungulia ng'ombe => Kati ya saa mbili na saa tatu
[between 8.00 and 9.00 o'clock
Kutia kiraka => Fichia siri [confiante]
Kumlainisha mtu -=> Kumzungumzia mtu maneno
Yalimkata maini - Yalimtia uchungu [emotional pain]
Kujikosoa => Kujisahihisha [correct your ways]
Kutia utambi => Kuchochea ugomvi [convince someone to fight]
Kumeza maneno => Kutunza siri moyoni [to keep a secret]
Kula njama => Kufanya mkutano wa siri [to conspire a secret meeting]
Kumkalia mtu kitako => Kumsema/kumsengenya [to talk about someone]
Kupiga vijembe => Kumsema mtu kwa fumbo [use idioms to talk about someone]
Kiinua mgongo => Malipo ya pongezi/uzeeni [pension]
Kazi ya majungu => Kazi ya kumpatia mtu posho [hand to mouth existence]
Kaza kamba => Usikate tamaa - [never give up!]
Kumwonyesha mgongo => Kujificha - [to hide]
Kuona cha mtema kuni => Kupata mateso [torture]
Maneno ya uwani => Maneno yasiyo na maana/porojo - [hyperbole !]
Mate ya fisi => Kata tamaa kupita kiasi - [give up totally !]
Mbiu ya Mgambo => Tangazo [advertisement]
Mungu amemnyooshea kidole => Mungu amemuadhibu - [God's punishment]
Mkubwa jalala => Kila lawama hupitia kwa mkubwa -
[The eldest is the Dumping ground!]
Mkaa jikoni => Mvivu wa kutembea - [a stay at home person]
Mungu si Athumani -=>Mungu hapendelei [God is fair]
Ndege mbaya => Bahati mbaya [bad luck]
Paka mafuta kwa mgongo wa chupa => Danganya [telling lies]
Usiwe kabaila => Usichume tokana na jasho la mwingine [Don't exploit others]
Usiwe kupe => Fanya kazi [be gainfully employed]
Usiwe bwanyenye => Usichume kwa vitega uchumi vyako [don't be a capitalist!]
Usiwe na mrija => Usinyonye wenzako [don't be exploitative]
Nazi nzuri,endelea!n
JibuFutaNbulugu
Futa, ty
FutaEnda shomo
FutaSaum mgaya
FutaJimbi la kwanza
FutaKuwe na nahau nyingi
JibuFutaRosalia Mwita
FutaToa siri hadharani
JibuFutaPrisca Dominician
FutaSuleiman
FutaAmina
FutaMwaga mtama penye kuku wengi
FutaDorcas
FutaToa siri bila boga
Jofrey
FutaAnika juani?
JibuFutaCostansia james
FutaCostansia, weka mambo bayana au hadharani
FutaKukausha
FutaZahir
FutaAsante
FutaAmepiga maji
JibuFutaAmeuchapa mtindi
Joseph shayo
FutaJoyce
FutaIssa
FutaTia nanga
JibuFutaWasili
FutaWini.f.sakaya
FutaJonathan Nzogya
FutaFika mwisho
FutaFika mwisho
FutaGodlove
Futaissayalaizer23@gmail.com
FutaNini maana ya kula mwata?
JibuFutaIptihaal
Futapata shida
FutaEunie
FutaKupata tabu
FutaPata shida /taabu
FutaPata shida /taabu
FutaWatu wana kokotana
JibuFutaKwenda joshi
unknown
Futakwenda joshi-kwenda kinyume
mtoto kikopo nini maana yake?
JibuFutaMwl Michael petro. Mtoto wa kikopo_ mhuni
FutaMhuni
Futachanja mbuga
FutaKazi nzuri, songa mbele. Ongezea"amepata naizesheni" _ pata kazi/pandishwa cheo
JibuFutakuvunjika moyo ni
JibuFutaKufa
FutaEndeleeni vivyo hivyo
JibuFutaKula unga?
JibuFutaNini maana ya nahau " Pangu pakavu, tia mchuzi"
JibuFutaWatu wenye maisha magumu... Au watu masikini
Futakuomba msaada, nikama vile mnakula wali wali alafu upande wako unaona hauna mchuzi hutopata ladha vizuri.... kwahiyo unaomba mchuzi kidogo
Futanini maana ya nahau mtoto wa kikopo
JibuFutaKama mkao wa chakula
JibuFutaMaana ya kama mkao wa chakula
FutaJibu lake ni Kuwa tayari
FutaAlaye yu ala ala aliwa
JibuFutaNaomba maana yake
Papa
FutaPapa
FutaPapa
FutaMaana ya watu wa chochole
JibuFutaNini maana ya kukata kitanzi
JibuFutaNickson
FutaNini maana ya nahau,"kula mumbi".
JibuFutaKiage mndeme
FutaKiage mndeme
FutaRobert
FutaKupatwa na matatizo
Pata shida ama taabu
FutaNini maana ya nahau,"kula mumbi".
JibuFutaNini maana ya nahau,"tia kidala cha mdomo ".
JibuFutaNini maana ya nahau,"tia kidala cha mdomo ".
JibuFutaMajibu hakuna kwa hiyo sioni kama i atusaidia
JibuFutaNini maana ya kazi za kijungu jiko
JibuFutaKazi ya kijungu jiko ni ile kazi inayokupatia fedha kwa ajili ya chakula tu, fedha kidogo kiasi kwamba huwezi kujiwekea akiba.
JibuFutaKuna nahau za zamani zinazojulikana sana Kama vile
JibuFutaAna mkono was birika
Ana mkono mrefu
Amepata jiko
Amekuwa kichwa na nyinginezo
Ana mkono wa birika ni mchoyo
FutaAna mkono mrefu ni mwizi
maana ya kula mumbi tafadhali.
JibuFutamaana ya ananiwia
JibuFuta(gipalia mkaa) jibu ya hilo nahau?
JibuFutaJipalia makaa - jitia matatani
FutaJipalia makaa - jitia matatani
FutaJipalia makaa - jitia matatani
Futamajibu ya hizi nahau
JibuFuta01-kula kwa macho?
02-kujikaza kisabuni
03-kufa kiume
04-kavaa shati la mikono mirefu
05-Tia chumvi
06-Babu katundika wana
07-kuwa popo
Rose obadia
FutaMaana ya nahau "kufa kiofisa"
JibuFutaKazi nzuri. Mini maana ya ota mizizi
JibuFuta2.kuvumilia maka mwisho
JibuFuta3.kishujaa
4.kutoa rushwa
5. Ongeza maneno ya uongo
7.kigeugeu
kufa kondoo maana yake ni ipi?
JibuFutaKinywa maji maana yake nini? Na
Fata mkia pia ina maana gani? Wanagenzi tusaidiane
Nini maana ya kumpa utokole
JibuFutaKazi nzuri
JibuFutaMaana ya nahau amekuwa kibunye
JibuFutaMichael Mongasyo. Ota mizizi - dhamiri, amekuwa kibunye- hana meno
FutaAmekatika sikio
FutaAmekatika sikio
FutaAmekatika sikio
FutaAnua matanga?
JibuFutaManahodha wengi
JibuFutaChombo huenda mrama
FutaChombo huenda mrama
FutaKupiga kibiriz maana yake nini
JibuFutaTangaza kwa sauti
FutaMaana ya kula mwande
JibuFutaNahau'kufa kiume' mini maana yake
JibuFutakuvumilia maumivu na mateso yanayokukumba
FutaKutupa mkono
JibuFutaKufariki
FutaKufariki
FutaKufariki
FutaFunga safari ni maan ykc
JibuFutaTega sikio
FutaSikiliza kwa makini
FutaSikiliza kwa makini
FutaKufa kikondoo
JibuFutaMaana ya kupata naizesheni ni?
JibuFutaHabibu j.
FutaKupandishwa cheo
FutaKupandishwa cheo
FutaKupandishwa cheo
FutaOta mizizi- shamiri
JibuFutaNini maana ya nahau kuonja uso
JibuFutaKunja uso
JibuFutaKasirika
JibuFutaKasirika
JibuFutaKasirika
JibuFutamaana ya nahan hii, piga winda
JibuFutaGodfrey methusela
FutaMaana y 'kula vya mwiki'
JibuFutaChota akili
JibuFutaIlikua karibu akamatwe na simba maana take nin jaman
JibuFutamaana ya ;tia mrija,kumpiga mtu sifa azizozistahili,kuwa na nafua
JibuFutaMini maana ya nahau pigs chuku
JibuFutaMini maana ya nahau piga chuku
JibuFutaSamwel nkuba
FutaNini maana ya nahau
JibuFutaKunoa lubu"
Kulamba mtu kisogo"
Venny swai
Futarehema Peter
FutaPiga chuku maana yake
JibuFutaPaul kulwa
Futani nini maana ya kata shauri
JibuFutaChristina
FutaNini maana ya neno kupiga teke
JibuFutaKunoa lubu
JibuFutaZablon Malima
FutaMaana ya zunguka mbuyu
JibuFutaPiga mbiu
Piga chenga
Kwenda hana
Toa rushwa
Maana ya noa lubu
JibuFutaMaana ya nahau vaa kisua
JibuFutaNini maana ya nahau piga winds?
JibuFutaMaana ya nahau Tia doa
JibuFutaissayalaizer23@gmail.com
FutaDorice
FutaMaana ya nahau shika hatamu ni?
JibuFutaNahau yenye maana sawa na tungo zifuatazo
JibuFuta1;Jumanne ni kijana mchoyo
2;Yule ni mlopokaji Sana
Mliny
FutaMaana ya tia shime ni?
JibuFutaKuwa kibunye manake nini
JibuFutaNini maana ya nahau kufa kiofisa??
JibuFutaAsha juma
FutaMaana ya fuja mali
JibuFutaVika kilemba cha ukoka
JibuFutaTia doa
JibuFutaKuaibisha
FutaMoyo wa bua
JibuFutaMaana ya pata ashekali
JibuFutaMaana ya ana miguu ya bata
JibuFutaKulamba kisogo
JibuFutaMaana ya kulamba kisogo ni ipii
JibuFutaMaana ya piga mtindi
JibuFutaMoyo wa bua Ni moyo usiohimili vishindo
JibuFutaNoa lubuni
JibuFutaKunoa lubu ni
JibuFutaKuchapa mtindi
JibuFutaYalinikataa
FutaNini maana ya kupiga chuku
JibuFutaNini maana ya kuvaa koti la mtu
JibuFutaNini maana ya piga ukope?
JibuFutaViola
FutaAafi
JibuFutaFunga kibwebwe
JibuFutaPiga maji ,,maana yake tafadhari nisaidieni
JibuFutaKopoa mtoto ni...
JibuFutamaana ya kula ya mini
JibuFutaAkili ni mali
JibuFutaMaana ya nahau Kaba roho
JibuFutaKennedy
FutaMaana ya fanya fii?
JibuFutaPiga kijembe?
Marco Ezekiel
FutaJackie Chan
FutaNi semi gani Ina maana ya kuondolewa madaraka
JibuFutaTilia mrija inamaanisha...
JibuFuta"Fuata nyayo" maana take ni Nini?
JibuFutaNini maana ya nahau " kutafuna maneno"?
JibuFutaNi nini maana ya pata ubeleko?
JibuFutaNini maana ya mfua uji
JibuFutanahau nyingi hazna mjb jamn
JibuFutaAsiyefikwa Na jeraha
JibuFutaAnua malago je maana yake nini?
JibuFutaNini maana ya nahau "kufa
JibuFutakiofisa"?
Maana ya nahau shika hatamu
JibuFuta